Friday, March 8, 2013

Michuano ya NSSF Media Cup kutimua vumbi kesho

 Meneja Uhusiano na Huduma kwa wateja wa Shririka la Taifa la Hifadhi ya Jamii, Eunice Chiume, akizunguma na Waandishi wa Habari Dar es Salaam jana, kuhusu uzinduzi wa michuano ya NSSF Media Cup, inayoanza kwenye viwanja vya Sigara na DUCE Chang'ombe Jijini kesho.
Eunice akimkabidhi jezi kwa mwakilishi wa timu ya NSSF, Linus Bwegoge (kulia)
Eunice Chiume (kushoto), akikabidhi mpira kwa Julius Kihampa wa Jambo Leo kulia. huku Afisa Uhusiano Mwandamizi wa NSSF Juma Kintu akishuhudia.
 Enice akikabidhi jezi kwa Joyce Nsima kulia wa Sahara Media
 Majuto Omari wa Mwananchi Communication akipokea jezi leo
 Vivien Msilu wa Business Times kulia akipokea jezi kutoka kwa Eunice wa NSSF, Dar es Salaam leo
Paul Urio wa IPP akipokea jezi kwa ajili ya timu yake
 Ridhwan Ramadhan wa Changamoto akipokea mpira
 Chacha Maginga wa TBC akipokea jezi
 Mohamed Mharizo wa Habari Communicatin akipokea jezi.
 Rashid Zahor wa Uhuru Communication akipokea jezi
 Eunice akiongea na wajumbe wa michuano ya NSSF Media Cup 2013
Akisisitiza jambo

No comments:

Post a Comment