Tuesday, April 2, 2013

Wananchi wa Kijiji cha Maliwanda, Wilaya ya Bunda, mkoani Mara wakishiriki katika ujenzi wa Shule mpya ya Sekondari ya Stephan Wassira, ikiwa ni moja ya utekelezaji wa kufanikisha kuwepo kwa shule hiyo hivi karibuni.

No comments:

Post a Comment