Monday, May 27, 2013

Mbunge wa Jimbo la Temeke, Bw. Abbas Mtemvu (kushoto), akiteta jambo na Mwenyekiti na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Vituka, Bi. Adelina Muluge, Dar es Salaam juzi, alipofanya ziara ya kukagua miradi ya maendeleo kwenye Kata hiyo.

Mbunge wa Jimbo la Temeke, Bw. Abbas Mtemvu (kushoto), akikabidhi vifaa vya michezo kwa Madiwani, Kapteni Kenny Makinda wa Kata za Yombo Kilakala (kulia) na Edmound Kapinga wa Makangalawe kwa ajili ya mashindano ya Serikali za Mitaa, yatakayowakutanisha vijana wa jimbo la Temeke. Anayepokea jezi na mpira ni Mwenyekiti wa Kata ya Kilakala, Amiri Bakari.

Mbunge wa Jimbo la Temeke, Bw. Abbas Mtemvu (kushoto), akikabidhi vifaa vya michezo kwa Madiwani, Kapteni Kenny Makinda wa Kata za Yombo Kilakala (kulia) na Edmound Kapinga wa Makangalawe kwa ajili ya mashindano ya Serikali za Mitaa, yatakayowakutanisha vijana wa jimbo la Temeke. Katikati ni Mwenyekiti wa Kata ya Kilakala, Amiri Bakari kwa niaba ya timu ya watoto wadogo.
Mbunge wa Jimbo la Temeke, Bw. Abbas Mtemvu (katikati), akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kata za Vituka na Kilakala, baada ya kuwakabidhi vifaa vya michezo kwa ajili ya mashindano ya Serikali za Mitaa yanayotarajiwa kuanza hivi karibuni.

No comments:

Post a Comment